Kambi ya Matibabu Hospitali ya Mwananyamala

Posted on: January 1st, 2023

Madaktari Bingwa wa MNH-Mloganzila na Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala, Watafanya Kambi yaUchunguzi na Matibabu ya Magonjwa ya Mifumo wa Mkojo, Mifupa, Macho na Kisukari